johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Afadhali kama ni kweli!Kesho ni sikukuu, liwalo na liwe
Kwani Kenya umeshaandama?Ili kujua kesho ni sikukuu ama la unapaswa Leo baada ya kula daku uangalie mwezi kama umeandama au la.
Sikukuu za kiislam zinategemea muandamo wa mwezi bakwata hawaandamishi mwezi kaa kwa kutuliaMtusaidie katika hilo ili tuokoe muda na fedha
Ahsanteni sana!
Teknolojia haihusiki?Sikukuu za kiislam zinategemea muandamo wa mwezi bakwata hawaandamishi mwezi kaa kwa kutulia
sijui huko Nai mm nipo machakoKwani Kenya umeshaandama?
Kazi Kazi!Eeeh ni kazi
HatariKazi Kazi!
Kaa karibu na TV na radio pia simu yako au PC taarifa zitapitia huko mwezi ukiandama utarangaziwa mkuuTeknolojia haihusiki?