BAKWATA yafunguliwa kesi, kisa na mkasa Mamlaka yake ya kidini

BAKWATA yafunguliwa kesi, kisa na mkasa Mamlaka yake ya kidini

The Watchman

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2023
Posts
896
Reaction score
1,427
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, wamefungua kesi ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini.

Akizungumza kuhusu kesi hiyo iliyofunguliwa tarehe 13 Novemba 2024, Sheikh Ponda amesema kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na athari kubwa zinazodaiwa kusababishwa na BAKWATA ndani ya Uislamu. Viongozi hao wanadai kuwa baraza hilo limewanyima Waislamu uhuru wa kujiamulia mambo yao, ikiwemo kumiliki rasilimali na kuendesha miradi ya kiuchumi.

"Tumeona ni muhimu kulikabili jambo hili kisheria kwa sababu ni suala linalovunja Katiba ya nchi," alieleza Sheikh Ponda. Katiba ya Tanzania inatoa uhuru wa kuabudu na kuchagua, na kwa mujibu wake, BAKWATA imekuwa ikivuruga haki hizo kwa kuhodhi maamuzi yote ya kidini kwa Waislamu nchini.

Sheikh Ponda amesisitiza kuwa lengo la kesi hiyo ni kuhakikisha Waislamu wanapata fursa ya kujiwekea uongozi wao, kusimamia rasilimali zao, na kuendesha miradi bila kuingiliwa na taasisi nyingine ambazo hazina ridhaa ya jamii ya Kiislamu.


Chanzo: Jambo TV
 
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, wamefungua kesi ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini.

Akizungumza kuhusu kesi hiyo iliyofunguliwa tarehe 13 Novemba 2024, Sheikh Ponda amesema kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na athari kubwa zinazodaiwa kusababishwa na BAKWATA ndani ya Uislamu. Viongozi hao wanadai kuwa baraza hilo limewanyima Waislamu uhuru wa kujiamulia mambo yao, ikiwemo kumiliki rasilimali na kuendesha miradi ya kiuchumi.

"Tumeona ni muhimu kulikabili jambo hili kisheria kwa sababu ni suala linalovunja Katiba ya nchi," alieleza Sheikh Ponda. Katiba ya Tanzania inatoa uhuru wa kuabudu na kuchagua, na kwa mujibu wake, BAKWATA imekuwa ikivuruga haki hizo kwa kuhodhi maamuzi yote ya kidini kwa Waislamu nchini.

Sheikh Ponda amesisitiza kuwa lengo la kesi hiyo ni kuhakikisha Waislamu wanapata fursa ya kujiwekea uongozi wao, kusimamia rasilimali zao, na kuendesha miradi bila kuingiliwa na taasisi nyingine ambazo hazina ridhaa ya jamii ya Kiislamu.

View attachment 3152013

Chanzo: Jambo TV
Hapo ni sawa sawa na kama kushitaki UVCCM huwezi kushinda hiyo kesi ponda anapoteza mda wake na pesa.
 
Katibu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislam nchini Tanzania, Sheikh Issa Ponda, pamoja na viongozi wengine 11 wa Kiislam, wamefungua kesi ya kikatiba katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam wakipinga mamlaka ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA) juu ya maamuzi yanayohusu masuala ya dini.

Akizungumza kuhusu kesi hiyo iliyofunguliwa tarehe 13 Novemba 2024, Sheikh Ponda amesema kuwa hatua hiyo imechukuliwa kutokana na athari kubwa zinazodaiwa kusababishwa na BAKWATA ndani ya Uislamu. Viongozi hao wanadai kuwa baraza hilo limewanyima Waislamu uhuru wa kujiamulia mambo yao, ikiwemo kumiliki rasilimali na kuendesha miradi ya kiuchumi.

"Tumeona ni muhimu kulikabili jambo hili kisheria kwa sababu ni suala linalovunja Katiba ya nchi," alieleza Sheikh Ponda. Katiba ya Tanzania inatoa uhuru wa kuabudu na kuchagua, na kwa mujibu wake, BAKWATA imekuwa ikivuruga haki hizo kwa kuhodhi maamuzi yote ya kidini kwa Waislamu nchini.

Sheikh Ponda amesisitiza kuwa lengo la kesi hiyo ni kuhakikisha Waislamu wanapata fursa ya kujiwekea uongozi wao, kusimamia rasilimali zao, na kuendesha miradi bila kuingiliwa na taasisi nyingine ambazo hazina ridhaa ya jamii ya Kiislamu.


Chanzo: Jambo TV
Katiba imetoa haki ya mtu kuamini dini yoyote, kwa upande wa Kikristu, Wakrito tuko huru kusajili kanisa au taasisi yoyote ya imani bila kulazimishwa kupata kibali TEC, ELCT au CCT, kwasababu Wakristo tuna madhehebu mbalimbali!, leo mimi naweza kufungua kanisa langu la "Kanisa la Utajiri Kula Raha na Starehe" na nikasajiliwa。

Lakini Waislamu hawana madhehebu,wote wako chini ya Bakwata, Ismailia, Ahamadiyah, Snunni, Answar Sunna,na taasisi zao kama Bamita, Balukta, etc lazima wasajiliwe na Bwakata, hawa jamaa wanataka kutuletea fujo kama ile ya Bakwata na Balukta, sisi Wakristo hatuna fundamentalism,serikali ikiruhusu hii kitu, kesho asubuhi Alqaeda,IS, Muslim Brotherhood na muslim fundamentals wanatua nchini na watatuvuruga!
p
 
Hahaha kwa hili nakubaliana na Sheikh Ponda. Bakwata wamezidi na uccm wao. Eti wao ndio wanaamua muislamu aweje, wanapeana vyeo tu, utasikia Sheikh wa MKOA, Sheikh wa Taifa, sijui Sheikh wa wilaya, Lakini husikii sheikh wa mtaa.
Kanyaga twende Ponda.
 
Back
Top Bottom