Ofisi za Makao Makuu
BAKWATA
Kinondoni Tanzania
BAKWATA YATOA TAMKO KUHUSU JOTO LA UTEKWAJI NA MAUAJI.
Tamko hilo rasmi la maandishi likisomwa na Sheikh Hassani Chizenga katibu wa baraza la Ulamaa Tanzania ambaye pia ni Sheikh, Hassani Chizenga mkurugenzi kitengo cha Dawa na Tbligh Tanzania kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania atoa press release / taarifa kwa umma yenye pointi / nukta nane nzito kufuatia dhahama ya utekaji na mauaji nchini Tanzania
BAKWATA yataka uchuguzi wa haraka pia wa kina ufanyike kuwabaini, kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu wasiojukikana ...
BAKWATA
Kinondoni Tanzania
BAKWATA YATOA TAMKO KUHUSU JOTO LA UTEKWAJI NA MAUAJI.
Tamko hilo rasmi la maandishi likisomwa na Sheikh Hassani Chizenga katibu wa baraza la Ulamaa Tanzania ambaye pia ni Sheikh, Hassani Chizenga mkurugenzi kitengo cha Dawa na Tbligh Tanzania kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania atoa press release / taarifa kwa umma yenye pointi / nukta nane nzito kufuatia dhahama ya utekaji na mauaji nchini Tanzania
BAKWATA yataka uchuguzi wa haraka pia wa kina ufanyike kuwabaini, kuwakamata na kuwafikisha mahakamani watu wasiojukikana ...