Mpaka CCM useme ndo Jumuia zake zijitokeze.Ofisi za Makao Makuu
BAKWATA
Kinondoni Tanzania
BAKWATA YATOA TAMKO KUHUSU JOTO LA UTEKWAJI NA MAUAJI.
View: https://m.youtube.com/watch?v=J0sxfuUAyJI
Tamko hilo rasmi la maandishi likisomwa na Sheikh Hassani Chizenga katibu wa baraza la Ulamaa Tanzania ambaye pia ni Sheikh, Hassani Chizenga mkurugenzi kitengo cha Dawa na Tbligh Tanzania kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania atoa press release / taarifa kwa umma yenye pointi / nukta nane nzito kufuatia dhahama ya utekaji na mauaji nchini Tanzania
Same here 😀Nimefungua huu Uzi kwa Kasi nilidhani Umeandika Hilo tamko hapa.
Ikaanza Police, ikaja CCM, ikaja BAKWATA, ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.Ofisi za Makao Makuu
BAKWATA
Kinondoni Tanzania
BAKWATA YATOA TAMKO KUHUSU JOTO LA UTEKWAJI NA MAUAJI.
View: https://m.youtube.com/watch?v=J0sxfuUAyJI
Tamko hilo rasmi la maandishi likisomwa na Sheikh Hassani Chizenga katibu wa baraza la Ulamaa Tanzania ambaye pia ni Sheikh, Hassani Chizenga mkurugenzi kitengo cha Dawa na Tbligh Tanzania kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania atoa press release / taarifa kwa umma yenye pointi / nukta nane nzito kufuatia dhahama ya utekaji na mauaji nchini Tanzania
Lazma wapaze sauti kauwawa mvaa kobazi mwenzao!Safi sana BAKWATA kwa kupaza sauti.
Kauwawa Mtanzania mwenzao.Lazma wapaze sauti kauwawa mvaa kobazi mwenzao!
Wameonekana katekwa wa kwetu.Ofisi za Makao Makuu
BAKWATA
Kinondoni Tanzania
BAKWATA YATOA TAMKO KUHUSU JOTO LA UTEKWAJI NA MAUAJI.
View: https://m.youtube.com/watch?v=J0sxfuUAyJI
Tamko hilo rasmi la maandishi likisomwa na Sheikh Hassani Chizenga katibu wa baraza la Ulamaa Tanzania ambaye pia ni Sheikh, Hassani Chizenga mkurugenzi kitengo cha Dawa na Tbligh Tanzania kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Tanzania atoa press release / taarifa kwa umma yenye pointi / nukta nane nzito kufuatia dhahama ya utekaji na mauaji nchini Tanzania
2025 kataa ccm okoa uhai🙌🙌Wanaotolewa tamko wanaelewa??
2025 kataa ccm, okoa uhai wa rasilimali zetu na mama TANZANIA