Balaa: Kenya yafikia hatua ya kuwala watoto wadogo ili kukabiliana na njaa

REDEEMER.

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2015
Posts
8,925
Reaction score
14,890
Kenya eats its children alive through hunger and plunder
SATURDAY MARCH 23 2019




A grave where the late Eribo Amalinga, was buried at Nakinomet village in Kibish sub-county, Turkana County, on March 21, 2019. Her daughter Lopusbok Ekalale said her mother died of hunger. PHOTO | JARED NYATAYA | NATION MEDIA GROUP
In Summary
  • Our people are dying not because it is their time to die, but because we have decided that they should die, since it appears they are an inconvenience to us for as long as they remain alive.
  • We are killing them through sins of omission and commission, either by refusing to plan ahead and implement already tried and tested solutions to their predicament, or by stealing in the most blatant ways the resources meant to facilitate timely interventions against drought.
 
Unatafsiri English direct from mother tongue,
Hawa watu hii ujinga walitoa wapi hadi 21st century!!!
 
Kiingereza kinakutatiza sana wewe mleta mada. Bora ukomalie tu kwenye kiswahili. Hii ni zaidi ya aibu.
 
it's a man
eating man society.... no wonder they do so.
 
Serikali ya Kenya inashindwa kuwapelekea watu chakula? Hawana ghala la taifa? Kwahiyo sasa hivi Kenya ikiingia vitani nchi nzima watakufa njaa?
 
Go back to school to gain better understanding of written messages.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haha;bro najua haujamaanisha [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38],ur betta than this...Ila wakenya Ilo tatizo lenu mnalitatuaje...kwann hamko active kwenye mambo ya aibu kama haya, mnasubir wenZenu wafe Au

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dear GoK, we are sick to hear the news regarding the death from hunger. We want see the GoK gives food to the affected ones. Otherwise you will held responsible. Why are you keeping quite?
 
Kingereza hakikuja na meli

Sent using boeing 737 max8
 
njooni mnunue mahindi huku tz, kg 100 ni ksh 5000, tu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…