Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
hahahah kwakweli mi ningependa mke wangu awe na masters..... unaihitaji elimu dear/ ahhaa
Jirani zao IAA ni tzs 9m. Kwa mba.Japo uzuri wa hawa ni mwaka mmojaFYI: Karo ya 2011 ya MBA - Executive ya ESAMI ilikuwa USD7500! ESAMI is based at Njiro, Arusha, Tanzania!
PhD scholarships nje nje!
Elimu tena basi ntaolewa tu....
Aisee yaani ukisikia watoto wa masikini wataendelea kuwa masikini wa elimu na kila kitu ndo inajidhihilisha!!!yaani masterz kwa sasa ada ni 7milions cash!
Hapo bado accomodation, si balaa hii sasa!? daah!!
hivi lile jukwaa lenu la maovu kumbe hua unatokako enh, cjui umemwachia nani akushkie!! 😉😀
vijana mnaoenda vyuoni nawapa usia na mzingatie kwa makini dunia ya sasa kwa mwaka hapa tanzania tu wanagraduate watu wengi sana mara kumi ya ajira ziliopo, cha msingi jiwekeeni mikakati mbadala, je usipoajiriwa utaishi vipi? na hili jambo ndiyo limeota mizizi kwelikweli, its a mental problem ina imetuathiri sana watanzania you have to have plan B KWENYE MAISHA YAKO, kwasababu hata ukibahatika kuajiriwa mshahara mara nyingi haukidhi mahitaji ya familia yako.Msaada wadau ninauliza vp soko la ajira la barchelor of commerce in banking and financial services hapo bongo,mim nimechaguliwa iyo pale udsm
Bwana asifiwe mpendwa.....
Haha umekuja huku ndo unakumbuka we ni mzee wa kanisa, amina
sababu ya kupandisha ada ya wanafunzi wa masters ni baada ya kugundua yakuwa wanafunzi kibao wanahitaji kupata masters zao toka udsm na wengi wao wakiwa wa nje yanchi na wahapahapa bongo pia!
Acha kulia lia fanyia kazi hiyo bachelor ukipata pesa ukasome!!Aisee yaani ukisikia watoto wa masikini wataendelea kuwa masikini wa elimu na kila kitu ndo inajidhihilisha!!!yaani masterz kwa sasa ada ni 7milions cash!
Hapo bado accomodation, si balaa hii sasa!? daah!!
Bwana asifiwe mpendwa.....
sio mimi mpendwa ni shetani
Wamataifa huyo.
vijana mnaoenda vyuoni nawapa usia na mzingatie kwa makini dunia ya sasa kwa mwaka hapa tanzania tu wanagraduate watu wengi sana mara kumi ya ajira ziliopo, cha msingi jiwekeeni mikakati mbadala, je usipoajiriwa utaishi vipi? na hili jambo ndiyo limeota mizizi kwelikweli, its a mental problem ina imetuathiri sana watanzania you have to have plan B KWENYE MAISHA YAKO, kwasababu hata ukibahatika kuajiriwa mshahara mara nyingi haukidhi mahitaji ya familia yako.
Aisee yaani ukisikia watoto wa masikini wataendelea kuwa masikini wa elimu na kila kitu ndo inajidhihilisha!!!yaani masterz kwa sasa ada ni 7milions cash!
Hapo bado accomodation, si balaa hii sasa!? daah!!
........ha hahahahsh. Utasoma mwakani kwa ada ya mwaka gani. Elimu biashara.comAisee acha tu nimeomba Postgraduate Diploma ya Masscommunication UDSM-SJMC niliweka bajet ya milion mbili na nusu Ada,nimetumiwa adm letter ada kwa milion tatu na nusu dah,nitasoma mwakani aisee
Tutasoma vyuo vya kata hamna shida elimu inaonekana sasa kupunguza wasomi badala ada iwe kidogo tuwe na wasomi wengi wanazidi kubana ............