Hazina uwezo wa kuua kwa namna hiyo. Na warusi nao hawajikushanyi maeneo ya vita kama walio harusini. Himaris zinatumia marisasi ya 155mm ambayo hata kama litatua sehemu walipo warusi 200 basi litau wachache,wengine watajeruhiwa na wengine wataendelea na shughuli zao.
Taarifa rasmi zinasema wanajeshi kati ya 400 plus wa Ukraine Huwa daily vitani na jumla inakaribia 300k ila Kwa Russia nadhani wamevuka 400k sio Kwa kichapo hichoHaya madubwana ni hatari sana.....
UKRAINE has reportedly wiped out hundreds of Russian soldiers who thought they were out of the range of danger.
Sources say five US-made HIMARS missiles slammed into the squaddies who were gathered on a beach in the Kherson region.
7
Up to 200 of Putin's troops are believed to have been gathered on Dzharylhach IslandCredit: East2West
7
Explosions then engulfed the beach as Ukraine unleashed five HIMARS missilesCredit: East2West
7
Russian forces are believed to have been taking part in separate training exercisesCredit: East2West
It is claimed that up to 200 of Vladimir Putin's men were on the occupied Dzharylhach Island when the strikes occurred.
Drone footage shows infantry troops apparently training in separate groups just moments before explosions engulfed the shoreline.
The soldiers are suspected to have believed they were safe from attack as they were too far away from the frontline to be hit.
But their false sense of assurance quickly vanished as five fearsome HIMARS missiles, with a range of 50 miles, rained down.
Ukraine wipes out ‘hundreds’ of Putin's men who ‘thought they were out of range’
UKRAINE has reportedly wiped out hundreds of Russian soldiers who thought they were out of the range of danger. Sources say five US-made HIMARS missiles slammed into the squaddies who were gathered…www.thesun.co.uk
Wameuza fikra zao huru kwa watawala madikteta.Warusi ni wazungu wa hovyo sana, yaani hupelekeshwa kijinga sana hata kwenye vita vya pili vya dunia walikufa sana, Stalin aliwatumia kama senene.
Hebu waza walivyokufa pale Bakhmut juzi na sasa kidogo walichokua wametwaa kimeanza kuwatokea puani, palikua na haja gani ya kufa kihivyo.
MmmmhWarusi ni wazungu wa hovyo sana, yaani hupelekeshwa kijinga sana hata kwenye vita vya pili vya dunia walikufa sana, Stalin aliwatumia kama senene.
Hebu waza walivyokufa pale Bakhmut juzi na sasa kidogo walichokua wametwaa kimeanza kuwatokea puani, palikua na haja gani ya kufa kihivyo.
Taarifa rasmi zinasema wanajeshi kati ya 400 plus wa Ukraine Huwa daily vitani na jumla inakaribia 300k ila Kwa Russia nadhani wamevuka 400k sio Kwa kichapo hicho
Ni wewe tu uliyeamini propaganda hizi!! Jiulize kama hii habari ni ya kweli kwa nini haionekani BBC au CNN!! Hakuna kitu kibaya cha kweli kitakachotokea kwa urusi na BBC au CNN isikitangaze!! Ukiona hakuna hii taarifa huko ujue ni propaganda za mitaani!!Kuna watu hawaamini
Hii ni propaganda na uongo mkubwa!! Tatizo la propaganda ni kwamba mwisho wa siku huwa haishindi vita! Propaganda ingekuwa inashinda vita urusi ingeshakuwa ni historia kuwepo!!
Hii habari ingekuwa ya kweli BBC na CNN zingeishadadia sana!! zingeipa airtime sana!! Ila kwa sasa hata BBC imeanza kujiweka kando kiaina baada ya kuona propaganda hazilipi kama ilivyotarajia!!
Kweli kabisa,hizi propaganda ni kuwapa ari askari wa ukraine waone kuwa wanawamaliza warusi na ushindi unakaribia!Hii ni propaganda na uongo mkubwa!! Tatizo la propaganda ni kwamba mwisho wa siku huwa haishindi vita! Propaganda ingekuwa inashinda vita urusi ingeshakuwa ni historia kuwepo!!
Hii habari ingekuwa ya kweli BBC na CNN zingeishadadia sana!! zingeipa airtime sana!! Ila kwa sasa hata BBC imeanza kujiweka kando kiaina baada ya kuona propaganda hazilipi kama ilivyotarajia!!
Mwaka wa pili huuSasa Ulraine wasubiri na wao wajibu mubashara ya Russia. Mwamba atawafurahisha!
Jiulize huu mwaka wa ngap bado kuna mapiganoHivi kulikuwa na wanajeshi milioni ngapi kwani? Maana tangu huyu mtoa mada aanze kutupia habari za kuuawa kwa wanajeshi wa urusi nafikiri sasa wanafika 2,000,000.
Pita huko BBC ukutane na kipande hiki hapa ili ujue kuwa kumbe haujui!Urusi iliwaambia watu HIMARS hazifanyi tena kazi zimekuwa jammed!
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Hv mtu timamu unatumia kigezo gan kushabikia udhalim wa Urusi nchini Ukraine , huo ni ujinga uliokisiriMi nikitaka kujua hiyo idadi tu basi, hilo la ugonjwa wako wa akili watakuja kushughulikia maspecialist
Media gan imelipot hivyo? [emoji23] [emoji23]Kulingana na habari nilizozisikia asubuhi hii kupitia Dw ni kwamba UKRAINE hakuna la maana wanalolifanya huko vitani zaidi ya kupoteza muda huku wakiendelea kubamizwa.
Hahahahaaa,hawa waliokuwa wanatuletea video game wakiaminisha watu ni footage huko uwanja wa vita!Jamaa walipiga hela sana za views huko youtube,baadae hadi wajinga walishtuka kuwa wanapigwa!Muulize vunjo aliyekuwa analeta hizo habari hapa,mbona kazikacha?Hawa The Sun ni motooo, wana footage nyingi sana za vifo vya warusi.
Wewe ulitaka mapigano yawe ya muda gani?Jiulize huu mwaka wa ngap bado kuna mapigano
Mkuu bado uko nyuma sana ya utendaji kazi wa HIMARS. Hizo ngoma achana nazo.Hazina uwezo wa kuua kwa namna hiyo. Na warusi nao hawajikushanyi maeneo ya vita kama walio harusini. Himaris zinatumia marisasi ya 155mm ambayo hata kama litatua sehemu walipo warusi 200 basi litau wachache,wengine watajeruhiwa na wengine wataendelea na shughuli zao.