DAKA MTUMBA
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 1,288
- 801
Hao hapo.
Mtakoma kujuta mbona.
Alafu wanavaa jezi za kiume dadadeki!!!
Tunaanzia kwao mkuu.yanga itabidi tuwafunge hao jamaa angalau goli tatu hapa dar ili kujiwekea mazingira mazuri
yanga itabidi tuwafunge hao jamaa angalau goli tatu hapa dar ili kujiwekea mazingira mazuri[/QUOSioswali sswali
Tunaanzia kwao mkuu.
Dawa ni kukomaa kulekwao. Ikiwezekana tuwapige nyingi kwao.
Yaani yanga wanunue kabisa vi tube vya KY jelly
Hawa jamaa si ndo wale tunaowadai hela zetu za uwanja wa Bunju? Aisee naweza kujikuta nashabikia Yanga kwa mara ya kwanza.
Napita.
Hao hapo.
Mtakoma kujuta mbona.
Alafu wanavaa jezi za kiume dadadeki!!!
Hao hapo.
Mtakoma kujuta mbona.
Alafu wanavaa jezi za kiume dadadeki!!!