Balabouh ndani ya segerea

Balabouh ndani ya segerea

mucadam

Member
Joined
Oct 18, 2008
Posts
28
Reaction score
1
Umesikia Balabouh yupo kwa pilato jana kisa wizi katka ileile bank yetu ya Barclays
 
Mucadama ni kweli kwamba Balabouh alifikishwa mahakama ya kisutu jana kuungana na wale washitakiwa saba wengine.lakini alipata dhamana na yuko nje kwa dhamana. Nilijua mapema kwamba Balabouh naye angefikishwa mahakamani lakini nisichofahamu ni kwanini alichelewa kuunganishwa katika kesi hii wakati ushahidi ulikuwa wazi kwasababu yeye ndiye mmiliki wa Kigamboni Oil Company ambako mchezo wote wa ule wizi wa $1million ulikoanzia.

Mwakilishi wa Kigamboni bwana Ukwaju ambaye ndiye aliyekuwa anaenda kuchota pesa kule alishaunganishwa katika kesi muda mrefu.
 
Back
Top Bottom