Balali........Kumbe...!!!

haisomeki


Kazi ya RA na mitambo yake ya New Habari Corporation Ltd. Ngoma ndo inaanza. Hadi kufikia kuapishwa kwa rais wa 5 wa Tz (Nov 2010) tutaona mengi sana!!
 
watu ppppppppppiiiiiiiiiiiiiiiipppppppppppppppo. haya sasa oneni kazi ya sisiem
 
kaburi lipo marekani sema tu mwili wa marehemu Balali haukuagwa na watz ambao wako Amerika angalao wangewawkilisha wtz wengine. Hata balozi wetu Daraja aliogopa kivuli chake asije akahusushwa labda na ufisadi japo Richmond ilimtikisa kidogo

Mkewe alikuwa akiitwa ..?. Muganda (sijui naye yuko wapi?). ni ndugu wa Emmanuel Muganda mtangazaji wa VOA (ingawa siku hizi hasikiki). Muganda akiwa US naye kweli hakuweza kufika ktk mazishi ya huyu mtu? Nadhani kuna mengi yanafichwa fichwa.
 
Balali amejitahidi kubaki kimya? anyway surveillance zito bado zitaendelea kuwa on, na mjane Anna Muganda anaendelea kutunza siri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…