balali na wenzake wako wapi?

balali na wenzake wako wapi?

XINGLUX

Member
Joined
Mar 31, 2008
Posts
17
Reaction score
1
Napenda kufahamu Gavana balali na mafisadi wenzake mnampango nao gani? mpaka sasa hivi sababu tunaona wahusika hawapo na viongozi mnakaa kimya au ile ilikuwa ni mikwala tunaomba mlifanyie kazi swala hili
Nadani mnafahamu jiinsi tulivyooumia mpaka sasa au sababu fedha hizo zimeanza kurudishwa
 
Nasikia yuko visiwa vya Malta anakula vizuri mapesa yetu (Pay As You Earn). Ile ilikuwa mikwara tuu, Balali sidhani kama watamkamata, labda wawakamate kwanza Mkapa, Mgonja, Hosea, Sumaye, Chenge n.k
 
Back
Top Bottom