ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Jarida LA Marco limemtbulisha Cr7 kama mchezaji bora,nimejiuliza utafiti huuni Wa mwaka Jana auni link?maana Sikh za karibuni kiwango cha mchezaji huyu dimbani kimekua chini mno has a ukilinganisha na Bale ambae ameonekana kufanya vizuri msimu huu NASA katika ufungaji,hivi kweli Cr7,in bora kuliko Bale kwa sasa?