Betri yenye chaji
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 743
- 642
Yani asilimia tisini ya comment zote za ukurasa wa UEFA Watu wanakataa Messi kuwa mshindi wa hii tuzo !!!!
Yani Kila mmoja ni NO! NO! NO !
Lakini kwakua ni biashara hizi basi ndo hvyo kiukweli mm ni shabiki wa Ronaldo Ila kwa mwaka huu VVD ,kastahil wamezingua kinoma yani
Vvd kafanya kipi cha ziada??
Vvd kafanya nini(individual performance)
Au kwa kuwa Cr7 hana vigezo hutaki mess apate ili waendelee kuwa sawa
Hio uefa si ndo kina origi na mane pamojana kipa wao ndo walitia chachuKashinda UEFA ,Kamaliza nafasi ya pili katika kombe la euro 2019 ,kashinda super cup ,akiwa na Liverpool
Yani asilimia tisini ya comment zote za ukurasa wa UEFA Watu wanakataa Messi kuwa mshindi wa hii tuzo !!!!
Yani Kila mmoja ni NO! NO! NO !
Lakini kwakua ni biashara hizi basi ndo hvyo kiukweli mm ni shabiki wa Ronaldo Ila kwa mwaka huu VVD ,kastahil wamezingua kinoma yani
Kashinda UEFA ,Kamaliza nafasi ya pili katika kombe la euro 2019 ,kashinda super cup ,akiwa na Liverpool
BILA KUPINGWA[emoji16][emoji16]Messi anapewa kwa misingi gani?????[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]
Mwenzie anaPia UEFA BEST PLAYER AWARD 2018-2019
Kweli kabisaRonaldo asahau tuzo angekuwa Real angebeba
Mwambie kwanza kwa makombe hata mahre, anayo mengi kuliko VVDKama kigezo ni makombe basi Allson Becker alistahili kuliko wote mana ana uefa champions league na coper America, ila kwa individual performance hakuna aliyemfikia messi kwa mwaka huu tuacheni unazi VVD hajaibeba liverpool ila Liverpool ndo imembeba VVD , barcelona haijambeba Messi ila Messi ndo anaibeba Barcelona Bila VVD Liverpool bado ni timu tishio barani Ulaya ila bila Messi barcelona ni sawa na Azam Fc
Huyu jamaa ni mtu mbad
Mnyan'ganye man.kama wamezinguaYani asilimia tisini ya comment zote za ukurasa wa UEFA Watu wanakataa Messi kuwa mshindi wa hii tuzo !!!!
Yani Kila mmoja ni NO! NO! NO !
Lakini kwakua ni biashara hizi basi ndo hvyo kiukweli mm ni shabiki wa Ronaldo Ila kwa mwaka huu VVD ,kastahil wamezingua kinoma yani
Hahahahahahahahah SERIOUS Leo hii VVD apate Injury hata miezi 3 nje Liverpool haiwezi kusheki Mkuu,Acha utani Mkuu acha kuongea vitu kiutaniutani.Kama kigezo ni makombe basi Allson Becker alistahili kuliko wote mana ana uefa champions league na coper America, ila kwa individual performance hakuna aliyemfikia messi kwa mwaka huu tuacheni unazi VVD hajaibeba liverpool ila Liverpool ndo imembeba VVD , barcelona haijambeba Messi ila Messi ndo anaibeba Barcelona Bila VVD Liverpool bado ni timu tishio barani Ulaya ila bila Messi barcelona ni sawa na Azam Fc