Balloon chaser 4s tam sana,basi tu watu wanadharau magar ya zamani

dokolombwike

JF-Expert Member
Joined
Oct 18, 2012
Posts
373
Reaction score
616
Nipo na ist pamoja na hii balloon chaser, 4cylinder, cha ajabu naipenda sana hii balloon, kweli watu walitulia sana kuitengeneza hii gari,kwanza nzito,inatulia barabarani,halafu ni very comfortable,pia system ya shockup iko poa sana,hata kwenye rafu road imetulia sana,ushaur wangu tafuta gari nzuri usikimbilie fasion
 
Ni kasumba tu! Kila mtu anataka magari ya kisasa, lakini kiuhalisia hizi gari ziko poa sanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…