Balloteli..............Mashabi ki ndio wanaopaswa kushangilia

Balloteli..............Mashabi ki ndio wanaopaswa kushangilia

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Manchester+City+v+Blackburn+Rovers+Premier+uW5R-SL3f7ft.jpgMario+Balotelli+AkMmeCd9Wbxm.jpg
Mshambuliaji nguli wa Man City Mario Baloteli ameutetea uamuzi wake wa kutoshangilia mara afungapo goli kwa kusema kwa ufupi kwamba mashabiki ndio wa kushangilia na sio mfungaji
 
huyu jamaa kiboko yao! Wazungu wanaisoma namba hapa!
 
Analazimika kuwa mtukutu kutokana na maisha na mazingira magumu yanayowakabili hususan wachezaji weusi!!! na kwa kweli ni uwezo wake tu wa kuoachika mabao unaomfanya apate namba katika kikosi cha Mancini.......
 
Wazungu ukiwa kama mshkaji ndio utawaweza! Mtukutu alafu anajua!
 
...................amekesha klabu na kachezesha dk 90 kumkomoa kama alivyofanyiwa Rooney ambaye hakumaliza hata dk 20 anasinzia uwanjani, huyu jamaa alimaliza zote 90 na akapachika bao dhidi ya Bolton........Kwa jeuri yake ameajiri wazungu tupu kwenye vitega uchumi vyake,
 
Hana makuu, uwanjani yeye ni nyavu tu na kuangalia aina yoyote ya MDUDU anayetaka kumuonea....hata yalemaneno WHY ALWAYS ME...yalikuwa na maana pana sana...
 
Super mario a.k.a mnyama ni miongoni mwa athlete ninaowakubali na ni kiboko ya watu weupe!!!!baloteli na mkali wa kuitwa floyd mayweather jr
 
Wengine kwa mtazamo wanamuona ni mtukutu bila kujitazama wao kwanza na mfumo uliowazunguka
 
Back
Top Bottom