...................amekesha klabu na kachezesha dk 90 kumkomoa kama alivyofanyiwa Rooney ambaye hakumaliza hata dk 20 anasinzia uwanjani, huyu jamaa alimaliza zote 90 na akapachika bao dhidi ya Bolton........Kwa jeuri yake ameajiri wazungu tupu kwenye vitega uchumi vyake,