mwachalika
Member
- Nov 24, 2009
- 32
- 15
Mimi nina balo za viatu vya kike na kiume. Nimeenda kuchagua mwenyewe china, mzigo uko poa sana. 25kg kila bag moja na bei ya ni 130,000 kwa ladies flat shoes and 250,000 kwa men canvas shoes. Viatu hivi ni kama vipya kabisa na mzigo upon Tanga na container nyingine natoa Dar wiki hii. Nitafute tufanye biashara. 0715603603