Mohamed Said
JF-Expert Member
- Nov 2, 2008
- 21,967
- 32,074
BALOZI ABBAS SYKES ASOMEWA KHITMA ZANZIBAR
Ndugu, jamaa na marafiki wa Balozi Abbas Sykes jana walimsomea khitma Msikiti wa Makuti Kisiwandui.
Wanasiasa wanapenda sana pale wapouzungumza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kusema kuwa muungano baina ya watu wa nchi hizi mbili ulikuwako kwa miaka mingi hata kabla ya nchi hizi kuungana na kuwa Tanzania.
Hakika yawezekana.
Historia ya Zanzibar na uhusiano wake na Tanganyika baada ya mapinduzi ni nzito sana kuihadithia.
Itaendelea...
Ndugu, jamaa na marafiki wa Balozi Abbas Sykes jana walimsomea khitma Msikiti wa Makuti Kisiwandui.
Wanasiasa wanapenda sana pale wapouzungumza Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kusema kuwa muungano baina ya watu wa nchi hizi mbili ulikuwako kwa miaka mingi hata kabla ya nchi hizi kuungana na kuwa Tanzania.
Hakika yawezekana.
Historia ya Zanzibar na uhusiano wake na Tanganyika baada ya mapinduzi ni nzito sana kuihadithia.
Itaendelea...