Balozi Amina Bijoux

Game Theory

JF-Expert Member
Joined
Sep 5, 2006
Posts
8,546
Reaction score
855
Apart from wale mabalozi wa Ludenga huyu naye anatuwakilisha pia

from this...


to this





naam hawa ndio mmoja kati ya mabalozi wa Tanzania nje
 
Huyo bibie ni Mcongo au ndio madoido yenyewe? Hivi Bijou yuko wapi siku hizi?

Mbwembwe tuu hizo

Mzaramo tena wa Vikumburu

sema si unajua warabiyu wakikamata line? Yaani Wahaya wamesingiziwa

si mbaya maana naona Anatangaza mpaka kwenye D&G na of course Mume Tasha kuondoa kiwingu cha kupelekana kwenye shughuli zisizo na kichwa wala miguuu


sista akitolewa anapelekwa kutazama WHITE SWAN holiday mambo ya ku Ski huo Austria

na picha ndio hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…