Pre GE2025 Balozi Dkt. Nchimbi: Kuna watu wameanza kuwapa fedha wajumbe waache mara moja

Pre GE2025 Balozi Dkt. Nchimbi: Kuna watu wameanza kuwapa fedha wajumbe waache mara moja

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo kwenye maeneo yao na kupitia kampeni zenye nia ya kuchafuana, hivyo amewataka waache mara moja kwani kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya CCM.

Balozi Dkt. Nchimbi ameyasema hayo Jumatano Februari 19,2 025 Jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema CCM inataka kuwa na wanachama walio ndugu na wasiofanya matukio ya kuumizana mwili ama moyo.

 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo kwenye maeneo yao na kupitia kampeni zenye nia ya kuchafuana, hivyo amewataka waache mara moja kwani kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya CCM.

Balozi Dkt. Nchimbi ameyasema hayo Jumatano Februari 19,2 025 Jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.

Kupata matukio na taarifa zote kwa kila mkoa kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025 ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Amesema CCM inataka kuwa na wanachama walio ndugu na wasiofanya matukio ya kuumizana mwili ama moyo.

Mlianza huko juu na huku chini wanafatisha tu
 
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo kwenye maeneo yao na kupitia kampeni zenye nia ya kuchafuana, hivyo amewataka waache mara moja kwani kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya CCM.

Balozi Dkt. Nchimbi ameyasema hayo Jumatano Februari 19,2 025 Jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.

Amesema CCM inataka kuwa na wanachama walio ndugu na wasiofanya matukio ya kuumizana mwili ama moyo.
 
Back
Top Bottom