Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo kwenye maeneo yao na kupitia kampeni zenye nia ya kuchafuana, hivyo amewataka waache mara moja kwani kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya CCM.
Balozi Dkt. Nchimbi ameyasema hayo Jumatano Februari 19,2 025 Jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo kwenye maeneo yao na kupitia kampeni zenye nia ya kuchafuana, hivyo amewataka waache mara moja kwani kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya CCM.
Balozi Dkt. Nchimbi ameyasema hayo Jumatano Februari 19,2 025 Jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambaye pia ni mgombea mwenza wa kiti cha Urais Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi amesema wapo watu wameanza kampeni za kutaka kuwatoa majimboni wabunge waliopo kwenye maeneo yao na kupitia kampeni zenye nia ya kuchafuana, hivyo amewataka waache mara moja kwani kufanya hivyo ni kinyume cha maadili ya CCM.
Balozi Dkt. Nchimbi ameyasema hayo Jumatano Februari 19,2 025 Jijini Dodoma wakati akifungua mafunzo kwa Watendaji Kata na Makatibu Tawi wa Mkoa wa Dodoma.
Amesema CCM inataka kuwa na wanachama walio ndugu na wasiofanya matukio ya kuumizana mwili ama moyo.