Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Rais wa kwanza wa African Union Committee.
Rais wa kwanza wa Pan African Parliament.
Balozi wa Tanzania nchini India bibi yetu comrade Gertrude Mongella ameliona hilo huko ughaibuni kwa Fidel Castro ,je kwetu linalishindikana ?!!
Tufanyeje ili tuzidi kuboresha hali za wafungwa baada ya kumaliza vifungo vyao magerezani mwetu.
#Nchi Kwanza 😍
#Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake 😍
Rais wa kwanza wa Pan African Parliament.
Balozi wa Tanzania nchini India bibi yetu comrade Gertrude Mongella ameliona hilo huko ughaibuni kwa Fidel Castro ,je kwetu linalishindikana ?!!
Tufanyeje ili tuzidi kuboresha hali za wafungwa baada ya kumaliza vifungo vyao magerezani mwetu.
#Nchi Kwanza 😍
#Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake 😍