Balozi Maajar and REX Attorneys

Kutokana na hii professional mis-conduct, kuna kipengere chochote cha sheria kinachoweza kutumika kushitaki kampuni hiyo?
 
Watanzania wazalendo tukaze buti kufanikisha ukombozi tunavyo vipaza sauti mahili kama jf, mwanahalisi, mwananchi, raia mwema, majira na tanzania daima. Tuwape hizi habari watazirusha
 

mkuu lakini ukumbuke wana familia na ndugu zao bongo kwa hio hata wakipata hiyo passport ya blue still wana extended family bongo.
 
Who knows, may be Bongo kuna shortage ya competent attorneys.:whoo:
 

Ni kama vile Dick Cheney na Halliburton issue.:whoo:
 
Tunazungumzia kuwa REX attorneys ya Balozi Maajar inasemekana imelipwa Tshs 5 billion za taxpayers kuidefend Tanesco against Dowans!!!
Is there any conflict of interest ?Forget about ICC judgement!!!!

Lawyers have advised Tanesco from the beginning that chances of winning the said case was very slim. Why trying to implicate that REX and Majjar have got anything to do with losing the case?
 
Huyu bwana aingizwe kwenye kitabu cha guiness.

I agree with you, for initiating, building, implementing and surprising the whole world by ensuring the first intake of students was achieved within 2 years in one of the largest Universities in Africa (to be).
 
Kwani si kulikuwa na wakati huyu mama aliomba kwa president aachane na ubalozi ili kafanye kazi kwenye hiyo law firm yake na president alikataa resignation yake??
Maybe hataki kuachia position yake sbb anaona inamlipa sana kuliko huo ubalozi.

Source or proof?
 

waTanzania wanaweza kuwapo lakini uelewe kuwa hii ni International Law Firm, na hao wazungu mara nyingi hushughulikia kesi za huko makwao ambako wana uzoefu zaidi.
 
viongozi wote wa Tz ni wafanya biashara through gov, na zote ni za wizi mtupu.
 
Chief Rumanyika



Originally Posted by Percival Salama

Waliochimba shimo watatumbukia wenyewe!



Balozi Maajar / Rex Attorneys, CCM & TANESCO's BoD Dug the Grave:

The appointment of Balozi Maajar and Co to represent TANESCO was the first MOST CUNNING DEATH SHOT at our public coffers to be wrestled off the un-imaginable 185 billion shillings.

The money we are talking about here, that we the tax-payers of this needy country are destined to part with, is more than enough to pay fees for up to 30, 834 university graduates to the tune of Tshs 6mn/- till the complete their studies and join the labour market to help revolutionise our weaker economy for the better!!

Kwa kweli inatia uchungu sana kuwa na viongozi walaghai kama hawa wanaoiba toka kwa wananchi wao mchana mchana kweupe. Hii ni kama sinema ya wakati wa vita kati ya Tanzania na Uganda halafu Mwl Nyerere akae aridhike tuu kwamba Nduli Iddi Amin keshajitokeza kutoa kikosi maalu cha kwenda kumlinda Mama Maria Nyerere na wanawe wote wasidhurike na mabaya ya vita, mmmmhhhh, ama kweli!!!!!!!!!!

And withis level of cruel professional misconduct for Advocate-turned-Diplomat Maajar, she will still be walking shoulder high in foreign countries as a dignitary without taking responsibility of all these to RESIGN from office.

With the Mega-Loss for our country to the tune of a hooping 185 billion shillings part of which Balozi Maajar will also be a beneficiary in professional fee, it is now clear that there MUST HAVE BEEN A DELIBERATE SYNDICATION OF THE WHOLE MATTER FOR ADVOCATE MAAJAR TO GO AND KILL TANESCO in court be offering fible representation before the law AGAINST DOWANS (RICHMOND DEVELOPMENT CORPORATION COMPANY which is sister company to DOWANS in business) as HER HEART had never stopped believing that the RICHMOND CONTRACT WITH TANESCO that has since been declared VOID AB INITIO was ideal, safe and correct deal to enforce in the country.

As a result of this act of stealing from public coffers using her legal profession, reasons why President Kikwete again had to immediately honour her with the position of becoming a diplomat at a distant location in Europe to shade her off from public eyes is yet to be known.

Now, within this muck of fraudulent dealings in the court corridors; Mrs Maajar and co advocates must face the wrath of Tanzanian tax-payers. The TANESCO Board of directors that appointed Mrs Maajar and Rex Attorneys which knowing very well that this was the legal representative of their first cheat company RICHMOND DEVELOPMENT CO that later gave rise to a relation with yet another CHEAT-COMPANY whose owners will never surface, their personal properties be attahed immediately to make good the loss in question.

As the current AG keep insisting that 'HIS CLIENTS DOWANS' must just be paid, full stop, the company of the anonymous owners of DOWANS TANZANIA LIMITED and their implicit or explicit sponsors MUST immediately start preparing for 'a-mother-of-all-wars' with Tanzanian taxpayers so duppped of their funds. Lucky enough, all the names are in public domain.

Tanzanians, let's wake up and go for someone's neck on this scandlous fraudulent network played in the court corridors; home and abroad!!!!!
 
kwa maoni ya mtoa hoja Rwechungura, balozi wetu DC na Attorney General wana lao jambo kuhusu hii issue ya Dowans na Richmond
Chondechonde Serah Palin akichukua nchi mama utaamriwa kuondoka DC!
alamsiki:hungry:
 
As I understand Mrs. Maajar was already an envoy to UK during this case and she had a sabbatical leave from her law firm, so what has she got to do with it? cant we be sensible sometimes?
 


Meet the Firm H.E. Mwanaidi Sinare Maajar
H.E. Mwanaidi Sinare Maajar
Advocate and Corporate and Mining Law Consultant

Practice Areas:
Mining, gas and oil, corporate law, banking law, legal review, drafting international contracts.



Qualifications:
Master of Laws (LLM) - University of Dar es Salaam – 1982.
Bachelor of Laws (LL.B) (Hons) - University of Dar es Salaam – 1977.
Short professional courses in Italy, Tanzania and USA.

Professional Membership:
Tanganyika Law Society (TLS), the Bar Association of Tanzania.
East Africa Law Society (EALS), an association of legal practitioners and national Bar associations in East Africa. She helped establish the EALS in 1995.
Tanzania Women Lawyers' Association (TAWLA).
International Bar Association.

Experience:
Ms. Maajar is currently on a sabbatical serving as High Commissioner of the United Republic of Tanzania accredited to the Court of St. James, United Kingdom and Northern Ireland and (Non-Resident) Ambassador Extraordinary of the United Republic of Tanzania to Ireland. Until her appointment as High Commissioner in June, 2006 she headed the Firm's Mining Law Portfolio. She has an unrivaled expertise in mining and energy law. She was a founding partner of MRN&M Advocates.
Ms. Maajar built the mining portfolio to become the brightest spot of the legal practice by investing an incredibly huge amount of her time and energy and eventually perfecting this field of law making her an unrivaled leading mining law consultant in Tanzania. It is to her credit that all major international mining companies operating in Tanzania are clients of the Firm. She is highly respected by the mining companies, the Government and peers as a leading corporate law consultant in every aspect of that industry. She has contributed to the reform of the mining law policy and law in Tanzania as well as the review of the impact of the law to the mining sector and to Government. Her ability to see beyond the obvious and to examine issues from the legal perspective as well as take into account social, political and economic issues that may impact mining issues brought to her to opine thereon, makes her a valuable adviser to any mining client. Prior to getting into private legal practice, she had worked as Senior Legal Advisor with the Central Bank of Tanzania and subsequently as Business Manager with Coopers & Lybrand, the predecessor firm of PriceWaterhouseCoopers in Tanzania

Languages:
English - Excellent
Kiswahili - Excellent
French - Reasonable

Other Memberships:
Past Chairperson, Tanzania Women Lawyers Association for three years (2001-2003).
Member of the Board of Muslim Development Fund (MDF).
Member of the University Council, Morogoro Muslim University, which is owned by MDF.
Member of the Board of Women and Development Company Limited (WAMA).
Member, Ministerial Advisory Board.
Past Chairperson of the Social Action Trust Fund (SATF).
Member of the Board of African Banking Corporation.
Member of the Board of DAWASA.
 
Hoja zingine zipo very low..!!!

Utasemaje na Watanzania walioajiriwa na Ulaya au Amerika na makampuni ya wazungu?...Hivi hakuna Wazungu wanaoweza kufanya kazi zao? hadi waajiriwa waafrika...? Tusiwe wepesi chukua kila Hoja bila Kupima....!!!

kama Hujui Umuhimu wa Wazungu au Expats..ktk big firm ...Kalale...Ukishakuwa utajua umuhimu wa kuwa na Multiculture/Multinational employees ktk Kampun yako...!!

kaka grow up!!!
 

Niko na wewe...

Nchi hii haina hata usalama wa Taifa tena maaana inaonekana katika hili dili kila mtu amepata kipande chake ili akae kimya. Tunataka Jk atoe tamko tuelewe yeye yuko na sisi au yuko nao ilitujuwe cha kufanya. Tumeonewa vya kutosha, tumepuuzwa vya kutosha, tumedhulumiwa vya kutosha, tumenyanyaswa vya kutosha, tumedharauliwa vya kutosha.
Watanzania tunaonekana ni washika pembe tu wenye nchi ni mafisadi. Tunakamliwa PAYE mpaka unaweza ukalia ukiona breakdown ya SLIP ya mshahara kumbe jamaa wanaenda kugawna tu. Wanatudanganya TRA imeshindwa kufikia malengo mimi nahisi wamechota tu wakatumia kwenye uchaguzi. Kweli wajinga ndo tuliwao. Hivi kwanini tunogopa maji wa washawasha na mabomu ya machozi? Hatutapata haki yetu kwa kukaa kimya tukindanganywa eti sisi ni kisiwa cha AMANI. HAKI HUZAA AMANI, hakuna amani bila HAKI!
I believe GOD is going to do something soon!
 

Was she the archtect behind all those bogus minning contracts that the government did enter with the foreigners? Did she make certain that the government of Tanzania is now earning only 3% of the revenue?
 
Story yako ni interesting lakini nimeshindwa kuona link ya AG katika scandal hii hasa kuhusu yeye kuwa na hisa. Labda ufafanue kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…