mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,586 Reaction score 11,227 Sep 16, 2013 #1 shkamooni! je nihalali kwa balozi furani anaye liwaklisha taifa furani katika nchi furani, kushiriki katika shughuli za kisiasa za nchi hiyo? kwa mfano kuhudhulia mkutano wa chama cha siasa
shkamooni! je nihalali kwa balozi furani anaye liwaklisha taifa furani katika nchi furani, kushiriki katika shughuli za kisiasa za nchi hiyo? kwa mfano kuhudhulia mkutano wa chama cha siasa
L le profesio Senior Member Joined Jul 21, 2013 Posts 116 Reaction score 16 Sep 16, 2013 #2 C halali hata kidogo...ni dalili mbaya sana kwa ccm Ni jambo ambalo halitakiwi kufumbiwa macho jaman Tena tulipinge kwa nguvu zote Jiulize swali hili Hivi angekuwa ni balozi wa china kasimama kwenye mkutano wa chadema si angefukuzwa siku hyohyo na serikari? Tena angeambiwa mchochez..
C halali hata kidogo...ni dalili mbaya sana kwa ccm Ni jambo ambalo halitakiwi kufumbiwa macho jaman Tena tulipinge kwa nguvu zote Jiulize swali hili Hivi angekuwa ni balozi wa china kasimama kwenye mkutano wa chadema si angefukuzwa siku hyohyo na serikari? Tena angeambiwa mchochez..
khayanda JF-Expert Member Joined Nov 6, 2007 Posts 247 Reaction score 25 Sep 17, 2013 #3 jamani mchina huyo, mambo yke na vitu vyao vya kichinachina tu