Sikubahatika kukutana na huyu mzee ila nadhani ni baba wa Soggy Dog na pacha wake Aniceth (sijui yuko wapi huyu aliyekuwa anajiita Gaza uwanjani).
Mungu awape amani yake nasi kama jamaa zenu wa karibu tuko pamoja na nyinyi katika kipindi hiki kigumu.
Mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi!!