Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
Mafunzo hayo ni sehemu ya maandalizi ya Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura, unaotarajiwa kuanza Machi 01, 2025 hadi Machi 07, 2025, katika mikoa ya Morogoro na Tanga katika Halmashauri za Wilaya ya Bumbuli, Handeni, Pangani na Mkinga.