Balozi Pindi Chana Akabidhi Mabati 144 Yakobi Sekondari

Balozi Pindi Chana Akabidhi Mabati 144 Yakobi Sekondari

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301
BALOZI PINDI CHANA AKABIDHI MABATI 144 SHULE YA SEKONDARI YA YAKOBI

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana amekabidhi Mabati 144 katika Shule ya Yakobi Sekondari Mkoani Njombe.

Mhe. Pindi Chana amewaasa wanafunzi wa Shule ya Yakobi Sekondari kusoma kwa bidii, kushiriki michezo mbalimbali pamoja na kudumisha Mila na desturi za Kitanzania.

Aidha, Mhe. Pindi Chana tarehe 25 Aprili, 2023 alishiriki mapokezi ya Mwenge wa Uhuru 2023 katika Mkoa wa Njombe.

Mwengu wa Uhuru ukiwa mkoani Njombe utakimbizwa katika Wilaya Nne ambapo utazindua na kufungua miradi mbalimbali ya maendeleo na kutoa ujumbe wa mbio hizo kwa mwaka 2023. Kauli mbiu ya mbio za Mwenge mwaka 2023 inasema “Tunza Mazingira, Okoa vyanzo vya Maji kwa Ustawi wa Viumbe hai na Uchumi wa Taifa”.

#Kazi Iendelee.

Funzu2pWcAENVBM.jpg
FunztWCXsAASa_f.jpg
WhatsApp Image 2023-04-26 at 12.22.47.jpeg
WhatsApp Image 2023-04-26 at 12.22.48.jpeg
WhatsApp Image 2023-04-26 at 12.22.48(1).jpeg
WhatsApp Image 2023-04-26 at 12.22.48(2).jpeg
WhatsApp Image 2023-04-26 at 12.22.49.jpeg
WhatsApp Image 2023-04-26 at 12.22.50.jpeg
 
Back
Top Bottom