Balozi wa Tanzania nchini Malawi ataacha lini utoto?

Kwa kesi ya huyu jamaa, mambo mawili yanapaswa kutazamwa: Kwanza, kwanini aliteuliwa, na pili, mwenyewe anachukuliaje kuteuliwa kwake!
 
Wafuasi wa dikteta wanapitia nyakati ngumu , hawaamini kama hayupo wanabaki kujifariji .
 
Yani anataka kutuonyeasha ana jiko la umeme.

Kwanza wamchunguze kama kafoji umri.

Pathetic!
 
si mlisema kashushwa cheo[emoji1787][emoji1787]

walamba asali mnatuzingua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…