Balozi wa Uingereza nchini atembelea Makao Makuu ya Yanga SC

Frank Wanjiru

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2012
Posts
22,719
Reaction score
40,739
Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, David Concar amewasili ofisi za Young Africans SC na kupokelewa na Rais Hersi Said, Makamu wa Rais Arafat Haji na Watendaji wote kwa ajili ya kuongelea mambo mbalimbali ikiwemo mahusiano kati ya Klabu na Uingereza hususani katika maendeleo ya soka letu.

 
Simba watatembelewa na popobawa, dadakeki

Utoto raha sana.

Simba walikuwa na Infatino Rais wa FIFA Dunia nzima hata mwezi haujapita umeisha sahau????

Na alisema kauli mbiu ya Nguvu moja

Walikuwa na Wenger moja kati ya Makocha wakubwa Duniani.

Ndio maana mnaambiwa wenye nazo ni wawili tu
 
Utoto raha sana.

Simba walikuwa na Infatino Rais wa FIFA Dunia nzima

Walikuwa na Wenger moja kati ya Makocha wakubwa Duniani.

Ndio maana mnaambiwa wenye nazo ni wawili tu
MI sijaelewa Mkuu. Infatino na Wenger walitembelea ofisi za Simba na kusaini kitabu cha wageni kama hii habari inavyosema au nimtag Aden Rage?
 
Baada Ya Arsene Wenger kutembelea......
Na wenyewe wameamua kuita wazungu wawatembelee basi tu ili mradi wawafurahishe wauza samaki wa feri...
 
MI sijaelewa Mkuu. Infatino na Wenger walitembelea ofisi za Simba na kusaini kitabu cha wageni kama hii habari inavyosema au nimtag Aden Rage?
Hao mwenyeji wao alikuwa CAF wala si Tifuatifua au Simba. Ule mchezo ulikuwa chini ya CAF.
 
Huyu balozi kaanza simba Leo akaenda hadi Bunju kuangalia mazoezi na amehaidi atakuepo uwanjani jumapili
 
Utoto raha sana.

Simba walikuwa na Infatino Rais wa FIFA Dunia nzima hata mwezi haujapita umeisha sahau????

Na alisema kauli mbiu ya Nguvu moja

Walikuwa na Wenger moja kati ya Makocha wakubwa Duniani.

Ndio maana mnaambiwa wenye nazo ni wawili tu
Hao walikuwa wageni wa champion league kijana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…