Balozi wa Uingereza nchini Kenya abadilishwa

Kenyan

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2012
Posts
414
Reaction score
314
Serikali ya Uingereza imemteua Neil Wigan kuwa Balozi mpya wa taifa hilo nchini Kenya, akichukua nafasi ya Jane Marriott ambaye amedumu kwa miaka 4.

Balozi Wigan anatarajiwa kuanza kazi rasmi Julai, 2023.
 
Hongereni wakenya kwa kupata balozi mpya kutoka uingereza.
 
Wameona wamletee anaendana na mshike mshike na yanayoendelea huko
Utakuta ni mjeda mstaafu au jasusi mbobezi
Ngoja nisubiri hapa cv
 
Daa nimemsoma kidogo
Jamaa kapita Somalia, Congo na Israel
Ndio maana wamemleta Kenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…