Balozi wa Urusi nchini Poland akumbana na nguvu ya Umma!

Farolito

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2018
Posts
12,001
Reaction score
27,175
Balozi wa Urusi nchini Poland Sergei Adreev na maafisa Ubalozi walioambata nae walikumbana na nguvu ya umma kutoka kwa waandamanaji wanaoiunga mkono Ukraine baada ya kumwagiwa rangi ya damu mwilini mwao ikiambatana na zomea zomea kama ishara ya kupinga uvamizi wa Urusi nchini Ukraine.

Balozi huyo alikumbana na masaibu hayo siku ya Ushidi ya Russia ambayo huadhimishwa tarehe 9 May kila mwaka alipokuwa akitaka kuweka shada la Maua Jijini Warsaw Poland.


Huyu mzee Putin amewaponza wenzake sasahivi wanaishi kama digidigi.









 
Haki ya nani media zinatuvuga vile zinataka. Mwisho wa siku akili inajaa takataka tunazolishwa na media.

Tusiposhtuka tutakuwa mazombie.
Tunaamini kile media zinataka tuamini.
Tunafikiri kile media zinataka tufikiri.


ASANTE SANA KWA WALE MLINIFANYA NIJIFUNZE MEDITATION, HAKIKA NAYAONA MATUNDA KATIKA KUJITAMBUA!!!
 
Media zimefanya nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…