ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kwa hiyo hakuna wanaume huko ila hao wafanyakazi wake tuu?Sasa balozi kama Vuwdh linamwasha na ni mjane afanyaje😂😂😂
Yaani hao jamaa wameiacha bahati laivu kabisa...🤨kiburi cha madaraka
sema nimependa hapo wafanyakazi walipo kataa na kumwambia sio majukumu yao
jiulize wangekuwa wabongo wana hiyo jeuri ya kukataa zaidi wangefurahia uchawa na kuiona mbunye ya balozi
uzee nao unakujaga na vituko vyake asa lengo la balozi ilikuwa ni nini
Kabisa hao jamaa hawakusoma cuba....balaozi alikuwa anataka wampelekee moto.Yaani upele huwapataga wasio na kucha aiseee....😋
Uyo mama anawataman wafanyakaz wake alkua anawatega wampige collabo anaonekana ni wale wabovu sana ndio maana vijana wamechomaKwa hiyo hakuna wanaume huko ila hao wafanyakazi wake tuu?
PombeWazambia wana vituko aisee.Yule mwingine bwana jela kafungulia wafungwa wakale mwaka mpya.Huyu balozi anawashikisha vuzi juniors.
Kila mtu ana ukichaa wake..Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amemfuta kazi Balozi anayeiwakilisha Nchi hiyo Afrika kusini Bi. Mazuba Monze baada ya kutoa maagizo kwa Wafanyakazi wake wa kiume wamnyoe sehemu zake za Siri.
Inaelezwa kuwa Balozi huyo alitoa maagizo hayo ambayo siyo ya kidiplomasia kwa Wafanyakazi wake wa kiume licha ya wafanyakazi hao kukataa na nakueleza kuwa siyo sehemu ya majukumu yao ya kuwanyoa Mabalozi hasa sehemu zao za siri.
Baada ya wafanyakazi hao kutotii maagizo hayo Balozi huyo aliamua kuwafuta kazi Wafanyakazi hao na kulifikisha swala hilo katika Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
My Take
Ubinadamu na Utu havipo tena
Wamenishangaza sana majamaa kweli kwenye miti hakuna wapiga mitiYaani upele huwapataga wasio na kucha aiseee....😋
Hapo tunasema ni matumizi mabaya ya madaraka, elimu na akili.Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amemfuta kazi Balozi anayeiwakilisha Nchi hiyo Afrika kusini Bi. Mazuba Monze baada ya kutoa maagizo kwa Wafanyakazi wake wa kiume wamnyoe sehemu zake za Siri.
Inaelezwa kuwa Balozi huyo alitoa maagizo hayo ambayo siyo ya kidiplomasia kwa Wafanyakazi wake wa kiume licha ya wafanyakazi hao kukataa na nakueleza kuwa siyo sehemu ya majukumu yao ya kuwanyoa Mabalozi hasa sehemu zao za siri.
Baada ya wafanyakazi hao kutotii maagizo hayo Balozi huyo aliamua kuwafuta kazi Wafanyakazi hao na kulifikisha swala hilo katika Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
My Take
Ubinadamu na Utu havipo tena
Alikuwa na rasta huko chini hadi aagize mkasi wa mchongoma au ndo akili ilikosa afya?Rais wa Zambia Hakainde Hichilema amemfuta kazi Balozi anayeiwakilisha Nchi hiyo Afrika kusini Bi. Mazuba Monze baada ya kutoa maagizo kwa Wafanyakazi wake wa kiume wamnyoe sehemu zake za Siri.
Inaelezwa kuwa Balozi huyo alitoa maagizo hayo ambayo siyo ya kidiplomasia kwa Wafanyakazi wake wa kiume licha ya wafanyakazi hao kukataa na nakueleza kuwa siyo sehemu ya majukumu yao ya kuwanyoa Mabalozi hasa sehemu zao za siri.
Baada ya wafanyakazi hao kutotii maagizo hayo Balozi huyo aliamua kuwafuta kazi Wafanyakazi hao na kulifikisha swala hilo katika Wizara ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa.
My Take
Ubinadamu na Utu havipo tena