Balozi wa Zambia nchini Afrika Kusini afukuzwa kazi baada ya kuamuru Wafanyakazi wake wa Kiume wamnyoe nywele sehemu za siri

Alafu kuna mshamba mmoja juu huko anaongelea mambo ya monopose
 
Kishapita monopause , sidhani kama ana ugwadu kama unavyosema.
Wewe ni binti! Ukifika menopause, ukumbuke hii comment yangu.

Nyege hazihusiani na menopause kwa wanawake wa siku hizi (Modern women). Kutokana na haya madawa ati ni ya kusaidia yanarejesha kwa nguvu za ajabu nyege. Tunawaona wake zetu wanavyohangaika kama wasichana wa miaka 17.
 
Loh, sikufahamu hilo.
Wanawake tunayumba-yumba kama mbayuwayu na mashabiki wa Lissu.
D
 
Sasa na hilo umbo na sura unaanzia wapi kumnyoa huyo kwanza nani atakubsli. Unadhani angekuwa kama yule wenu wa kule Switzerland kuna mtu angegoma?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…