tz1
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 2,121
- 536
Leo asubuhi alikuwa live kwenye east africa radio,akihojiwa na zembwela.
Alsema muhimbili wamemzuia kutoka hospitali kwa sababu anadaiwa hela
nyingi kwa ajili ya oparesheni ya mguu.kwa hiyo anaomba jamii kumsaidia.
Mimi nilidhani ni mwajiriwa wa etv au nipo wrong?
Alsema muhimbili wamemzuia kutoka hospitali kwa sababu anadaiwa hela
nyingi kwa ajili ya oparesheni ya mguu.kwa hiyo anaomba jamii kumsaidia.
Mimi nilidhani ni mwajiriwa wa etv au nipo wrong?