Bambo aomba msaada

du!! itv,eatv,sijui radio one,eat....magazeti...kweli mengi ni mtu wa ajabu sana!!! pesa yake ni ngumu..ndio maana wafanyakazi wazuri hawakai pale
 
Usanii Tanzania unahitaji mageuzi makubwa - usingetegemea mtu maarufu kama Bambo kushindwa kujilipia matibabu iwapo mapato ya usanii mzuri yangekuwa inavyopaswa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…