luckawanna
Member
- May 9, 2014
- 68
- 18
Wadau,
Nahitaji kupata bamboo /mianzi ambayo imekomaa na eidha imekauka ama bado (ikiwa haijavunwa pia). Naomba kwa yeyote anayefahamu inapopatikana ama kama ni mkulima anijuze.
Nahitaji kupata bamboo /mianzi ambayo imekomaa na eidha imekauka ama bado (ikiwa haijavunwa pia). Naomba kwa yeyote anayefahamu inapopatikana ama kama ni mkulima anijuze.