Bamia ni muhimu wadada wenzangu!

Bamia kama bamia
 
Ni kweli. Hata kwa mwanaume akitumia ina faida sana. Inatoa ile hali ya uchovu sana. Inaongeza ute ute unatoka kabla ya manii, kwa wale waliojichua muda mrefu hii kitu inasaidia sana kwao kwa kuwaondolea ile hali ya kuumwa kichwa baada ya kufanya.
Aisee...🙆‍♂️
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…