Bamia ni muhimu wadada wenzangu!

Binafsi naona Ukimfeel ukampenda na kuwa na hisia nae ni bamia toshaa cute!
 
Ila wanaume wengi humu wana stress Jamani

Mama Samia waajiri hawa watu watakufa na misongo ya mawazo

Mtu unamwita malaya haujawahi hata kumgusa [emoji119]

Mtu hatakiwi kuandika anayojisikia JF Eti ni single Mother sasa inakuhusu nini?


Tafuteni hela mtakufa midomo wazi
 
[emoji23][emoji23][emoji119]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…