ban ya maisha nimefufuka

ban ya maisha nimefufuka

Kirode

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2011
Posts
3,566
Reaction score
84
bandugu habari. nimekula ban nene sana ya maisha sasa nimekuja upya ......napenda kudiclea interest yangu. mi ni chadema wa kufa na kuzikana.....
 
Karibu mjomba, sisi hatujambo sijui ndugu zako uliowaacha makabulini baada ya wewe kukufuka awajambo pia?
Anyway, karibu sana and take care of yourself ili usije ukafaliki tena na tukakupoteza kwa mara nyingine ndani ya jumuiya ya wana JF.
 
bandugu habari. nimekula ban nene sana ya maisha sasa nimekuja upya ......napenda kudiclea interest yangu. mi ni chadema wa kufa na kuzikana.....

kwani ukiwa cdm ndio hutakula ban mkuu.. karibu jamvini..
 
karibu sana mkuu na pole sana
 
Back
Top Bottom