Banana Republic alert: Tanzanian charged for insulting president on WhatsApp

did u mean prestigiously?
 
To hell with all wailing an boasting...there is much more serious problem within this E.A community
 
Namuunga mkono huyo jamaa bwege sio matusi hizo ni njia za kututisha tusimkosoe,alipowaita wanafunzi ****** alichunga mdomo wake? Upuuzi mtupu
Wewe huogopi kuelekezwa ukanyee kwa debe Segerea.
Jana amekamatwa mwengine kwa kutusi Pombe. Hakufafanua ni Pombe yupi amemtusi, maana Pombe ni wengi, lakini yalimkuta. Kuwa makini.
 
Hehehe Geza Ulole sasa wewe ukifuata kauli kama hizi naona EAC yetu itainuka. Lakini chunga, utapokea wageni usiowafahamu na tutabaki hoi hapa, hatuna wa kumshambulia.
 

Huyu hapa kwenye hii picha atanyea debe jela kisa amemtusi Pombe, japo hajafafanua amemtusi Pombe yupi lakini yamemkuta.
Halafu naomba kujuzwa, nini maana ya neno bwe.ge, maana halipo kwenye kamusi. Kwa mwendo huu, nyie mnalo. cc: JokaKuu kadoda11

Mwingine adakwa kwa kumkashifu Rais Magufuli kwenye mtandao wa "WhatsApp"

 
The disturbing thing is the guy cursing, it shows the guy has no respect and good manners. And that if left ndio ningekuwa worried na wapi tunapoelekea kama taifa bwana JokaKuu.

So don't worry guys
 
The State snoops in on private conversations on this app So much for the new feature which says encryption means third parties cannot view contents of any conversation. Says so much about communication privacy in bongoland.

Ama it's somebody who snitched on him?
 
Sammuel999, that's my opinion if u believe u have influence on what i say as Kenyan u need to get out of that zone ASAP![/QUOT
katika masuala ya kisiasas Kutukana sio lazima unaweza ukaandika hata kwa mafumbo na sio kutukana!
 
Jibu hoja bana we wa wapi?
 
Wooow watu down south mnaspyiwa Juu chini na serkali I thought whatsapp niencrypted texts guess not!!!!
 
Kenyan jailed for insulting President Uhuru Kenyatta

A Kenyan student has been sentenced to a year in jail for insulting President Uhuru Kenyatta on social media.

Alan Wadi Okengo, 25, alias lieutenant Wadi, must also pay a fine of $2,200 (£1,400), or serve a second year.

He was also convicted of hate speech, after saying members of the president's Kikuyu ethnic group should be confined to certain parts of the country.

A prominent blogger was recently charged after calling Mr Kenyatta an "adolescent president".

Kenya has a vibrant social media scene and the BBC's Emmanuel Igunza says the cases have led to fierce debate about what is acceptable online.

Our reporter notes that many people think Okenga overstepped the mark, as they felt his comments were personal abuse that was not fit to be published.

Okenga pleaded guilty to both hate speech and insulting the head of state.

The Daily Nation website reports that he was arrested while trying to flee the country.

The case comes as a Kenyan court suspended sections of a tough new security law which critics say curtails media freedoms.

Kenyan jailed for insulting President Uhuru Kenyatta - BBC News
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…