NostradamusEstrademe
JF-Expert Member
- Jul 1, 2017
- 3,402
- 4,532
Ninafuga Ng'ombe tunaowaita wa kisasa. Nina mpango wa kuwajengea banda la kupumzikia tu na sehemu yao ya kulia majani iwe sehemu ingine japo ni extension tu naomba ushauri sifa za banda liweje?