miss strong
JF-Expert Member
- Jul 4, 2012
- 7,012
- 3,700
Poleni wana JF na majukumu yenu ya kila siku,Nimesikia tetesi kuwa majina yametoka na kubandikwa kwa wale tuliopeleka maombi ya kazi mwezi mmoja na nusu uliokwisha..Kwa yeyote anayelifahamu tafadhali nijibu!