Wakati wa uhai wake Hayati Magufuli aliupinga mradi wa ujenzi wa bandari ya Bagamoyo na alisema nii kichaa pekee ndiye anaweza kukubali masharti ya mradi. Pia wakati wa uhai wake viongozi takribani wote wa CCM walijipambanua kama wafuasi wake kindakindaki na baadhi yao wakiwemo wabunge walipiga debe kuwa aongezewe muda apende asipende.
Sasa ghafla tu baada ya kufariki viongozi hao hao sasa wamemgeuka na wanataka bandari ya Bagamoyo ijengwe.
Kwa wana CCM ambao nwakani watafanya uchaguzi wa viongozi wao nawashauri suala la ujenzi wa bandari liwe benchmark ya kumjudge yeyote anayewaomba kura kama ni mfuasi wa JPM au anampinga. Swali liwe simple: unaunga mkono ujenzi wa bandari ya Bagamoyo au unapinga? Kila mwanaCCM apimwe kwa jibu lake moja tu kuhusu bandari. Akiunga mkono ujenzi wa bandari apigwe chini ili liwe funzo dhidi ya unafiki.
WanaCCM anzeni na kigezo hicho ili kuwafagia wanafiki.
Sasa ghafla tu baada ya kufariki viongozi hao hao sasa wamemgeuka na wanataka bandari ya Bagamoyo ijengwe.
Kwa wana CCM ambao nwakani watafanya uchaguzi wa viongozi wao nawashauri suala la ujenzi wa bandari liwe benchmark ya kumjudge yeyote anayewaomba kura kama ni mfuasi wa JPM au anampinga. Swali liwe simple: unaunga mkono ujenzi wa bandari ya Bagamoyo au unapinga? Kila mwanaCCM apimwe kwa jibu lake moja tu kuhusu bandari. Akiunga mkono ujenzi wa bandari apigwe chini ili liwe funzo dhidi ya unafiki.
WanaCCM anzeni na kigezo hicho ili kuwafagia wanafiki.