Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawezi kutokea huyo na akitokea ataanza longolongo zake za ufipa.Salary Slip njoo huku
Hamuaminiki!!Hawezi kutokea huyo na akitokea ataanza longolongo zake za ufipa.
Sema awamu ya kufanya siasa kwenye kila kitu.Ndio maana nimemuita ajioneee mafanikio ya awamu dume !
Si unaona sasa anaanza oh najipa muda kwanza kabla ya sijui nini, ha ha ha. Huyu Salary Slip sijui yukoje wallahi.Ndio maana nimemuita ajioneee mafanikio ya awamu dume !
ndio bavicha aliyebakia humu kujaribu kuleta propagandaSi unaona sasa anaanza oh najipa muda kwanza kabla ya sijui nini, ha ha ha. Huyu Salary Slip sijui yukoje wallahi.
Halafu propaganda zenyewe hazina kichwa wala miguu.ndio bavicha aliyebakia humu kujaribu kuleta propaganda
Hiyo theory yako ni ngumu kumeza...kuhusu kuingiza mapato ni ukweli usiopingika kuwa mapato yanaongezeka...kwa hiyo TRA wanapotoa data tusiwabeze.Tani milion 16 Zipo Equivalent na Income??? Tuanzie hapo
Lakini kuingiza mizigo mingi sio kufanya vizuri.
Siku ambayo ntaona Bandari imepokea Tani chache sana ndio ntaamini kuwa nchi Yetu imepiga hatua kiuchumi. Kwa maana kwamba Tunazalisha sana bidhaa na hivyo hatuhutaji Ku import bidhaa.
una mawazo mazuri sana lkini unatakiwa ukumbuke kila mzigo bandarini sio wa nchii hii poa kuna land locked country zinategemea bandari yetuuuTani milion 16 Zipo Equivalent na Income??? Tuanzie hapo
Lakini kuingiza mizigo mingi sio kufanya vizuri.
Siku ambayo ntaona Bandari imepokea Tani chache sana ndio ntaamini kuwa nchi Yetu imepiga hatua kiuchumi. Kwa maana kwamba Tunazalisha sana bidhaa na hivyo hatuhutaji Ku import bidhaa.
Comparative analysis???????Bandari Salama ya Dar es Salaam imeonesha utendaji wa kuridhisha siku hadi siku.
Katika mwaka 2017/18 Imeweza kupoke mizigo kiasi cha zaidi ya tani milioni 16.
#HapaKazi tu
Duh!Tani milion 16 Zipo Equivalent na Income??? Tuanzie hapo
Lakini kuingiza mizigo mingi sio kufanya vizuri.
Siku ambayo ntaona Bandari imepokea Tani chache sana ndio ntaamini kuwa nchi Yetu imepiga hatua kiuchumi. Kwa maana kwamba Tunazalisha sana bidhaa na hivyo hatuhutaji Ku import bidhaa.