Wataalam wa uchumi kutoka South East Asia wanatuhakikishia kwamba Bandari ya D'Salaam PEKE YAKE inatosha kuingiza mapato ya kuendesha chumi za Burundi, Uganda, Rwanda na Tanzania yenyewe KWA PAMOJA.
Kinachotakiwa ni binadamu wenye mchanganyiko sahihi wa ELIMU, UPEO na UZALENDO (ambao hawapatikani Afrika Mashariki, hasa Tanzania).
Je, ni kweli hatuna watu wa kufanya kweli? hii ni laana au?
mapato ya kuendesha chumi za Burundi, Uganda, Rwanda na Tanzania yenyewe KWA PAMOJA
UPDATE: Nasikia ishu ya bandari SASA INAFANYIWA KAZI. Hongera waziri wa miundombinu!
Kiranga: Bandari ya DSM ikitumiwa ipasavyo (given its STRATEGIC LOCATION) inaweza kabisa kabisa kuiletea Tanzania mapato ambayo kiasi chake ni sawa na mapato ya sasa ya nchi za Burundi, Uganda, Rwanda na Tanzania kwa pamoja.
"During the year 1999/2000, before privatization of the unit, THA collected a total of Tsh.64.4bn, with a gross profit of Tsh.10bn.However, the trend dropped drastically to Tsh.55bn in the 2001/2002 year after it was privatized. There was a sharp drop in the gross profit to Tsh.6bn."