Bandari ya mafuta Kisumu itahakikisha soko la Uganda, Rwanda na DRC ni letu

SAWA - HAYO YANAWAHUSU NYIE KINA NJOROGE NA KAMAU. YA TANZANIA TUACHIENI WENYEWE..... Tunawajua
 
Mawazo yako ni ya kutojiamini na kukata tamaa.
ndiyo, nimekata tamaa, hamuwezi kujilinganisha na Kenya, hata rambirambi za watoto mnachakachua kweli? Yaani kabisa kabisa? Ooh my God, WTF
 
labda kama Uganda haitazalisha mafuta! Sioni bandari hii ikiwa effective!
 
Westing your time! It will never and I repeat never happen! Doomed forever!
 
Nenda tu hamna anayekuhitaji Tanzania.
wewe ni nani? Hizo ni hisia zangu tu, wewe kama unajisikia kubaki kwenye nchi ya wala Rambi Rambi ni wewe tu Mkuu, kuhusu wanaonihitaji huwezi kujua, KILA MTU NA MTUWE, wivu wa nini kwa Kenya?
 
Wakenya mnahangaika sana,tatizo lenu jiografia haiwapendelei.
Uganda ana mafuta yake hawezi kununua mafuta ya kenya
DRC NA RWANDA hawawezi kuacha kununua Uganda ambako ni karibu wakaenda nunua Kenya gharama za usafiri zitakuwa juu.
Hiyo bandari mtauzia samaki tu
 
Ati NationMaster inasema imetoa data yao from the CIA World fact book?
Haya basi here is the latest data from the same same CIA Fact Book. Wewe umeweka ya 2003, mimi ninakuekea ya 2012.

The World Factbook — Central Intelligence Agency

Hivi tutaendelea kuchekana hivi Wabongo wenzetu? Kila jambo nzuri kuhusu Kenya, washenzi kama wewe hufululiza na sijui upuzi gani yenye nia ya kudhalilisha nchi ya Kenya.
Haya basi, 67% of Tanzanians live below poverty line, Kenya is 43%.
Kenya iko na matatizo mengi, lakini why bring it up all the time? And it is not like your side is at all that rosy..
 
ndiyo, nimekata tamaa, hamuwezi kujilinganisha na Kenya, hata rambirambi za watoto mnachakachua kweli? Yaani kabisa kabisa? Ooh my God, WTF
Unahisi unamkomoa nani?
 
acha povuuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…