Hili swala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.
Tanzania jamani sijui ni nani katuloga sisi , ni lini tutaendelea na sisi tuwe tunajivunia maendeleo yetu.
Hakuna Robot wala Robert ndio imetoka hiyo bandari inaendeshwa na mabinamu tuwe wapole tu ....nasikia wanataka wapewe Mwendokasi na SGR pia wamesema itakua kama DubaiHivi Waarrabu watafunga lini zile ROBOTStulizoambiwa na Msukuma ..... Au ndiyo wameitelekeza bandari yao ......!!?
……… alazimishweee! Anakataaa kitu gani!? Nchi itaenda kubaya……..!!Kiongozi alipotezwa mkabakiziwa takataka!
Kama hujui kitu uulize. Chukulia kwamfano meli imefika ikakuta Kuna meli nyingine 20 zinasubiri kuiingia. Nanafasi zilizopo zinatosha meli 5, na labda meli iliihudumiwe inachukua siku 5 je, itachukua siku ngapi mpaka meli inayofika Leo kuiingia NDANI??Hili suala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.
Tanzania jamani sijui ni nani katuloga sisi , ni lini tutaendelea na sisi tuwe tunajivunia maendeleo yetu.
Halafu wakashangilia kama mazuzu.Kiongozi alipotezwa mkabakiziwa takataka!
Huko kwingine vipi au ni nyinyi tu mna meli ishirini bandarini? Hizi ndio siasa kuna bandari zinaingia meli nyingi kwa siku kuliko huo mwalo wenu na hakuna meli itakaa zaidi ya siku tatu. Hio ni inefficiency tu na labda hujui madhara yake.Kama hujui kitu uulize. Chukulia kwamfano meli imefika ikakuta Kuna meli nyingine 20 zinasubiri kuiingia. Nanafasi zilizopo zinatosha meli 5, na labda meli iliihudumiwe inachukua siku 5 je, itachukua siku ngapi mpaka meli inayofika Leo kuiingia NDANI??
Melininachukua mwezi mmoja kushushwa mizigo.Hili suala la Bandari tatizo tumeingiza sana siasa ndani yake lakini Meli inaweza fika Dar mapema ikacheleweshwa kupangiwa siku ya kushusha mzigo kiasi kwamba kufika inaweza chukua wiki 2 au 3 halafu ikasubiri tena wiki 3 hadi 4 kupangiwa kushusha mzigo.
Tanzania jamani sijui ni nani katuloga sisi , ni lini tutaendelea na sisi tuwe tunajivunia maendeleo yetu.
Ni kweli kabisa! Watu waligeuka mazuzu! Motheri hatoshei! Amepwaya sana! Sema uchaguzi wetu ni fake lakini alikuwa anapigwa chini!Halafu wakashangilia kama mazuzu.