Bando la Milioni 3

chizcom

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
8,680
Reaction score
18,035
Kama IRS (The Internal Revenue Service - Revenue service for the United States federal government) ingekuwa TZ kufuatilia wapenda sifa naona wangenyoosha mikono juu wasanii.

Wasanii mnapenda sifa sana kuliko mnachokitafuta ila bahati nzuri TRA ya kwetu muda wa kufatilia wasanii haijawa makini.

Wasanii wa Marekani wanafatiliwa sana na mwisho wa siku wanakili wenyewe sifa zao zinawapeleka pabaya.

Sasa huyu bando la milioni 3 ukifatwa usilalamike utaeleza mapato yako yako unapata wapi au ndio ulichopewa kina kwepa kodi.

 
Marekani sifa hazina uhusiano wowote na kodi. Hata usipojioshesha kodi lazima ulipe accoldingly kwasababu mapato yako yote yako transparante. Kwa kifupi huwezi kuficha hela, na ukificha ni kosa la jinai.
 
Marekani sifa hazina uhusiano wowote na kodi. Hata usipojioshesha kodi lazima ulipe accoldingly kwasababu mapato yako yote yako transparante. Kwa kifupi huwezi kuficha hela, na ukificha ni kosa la jinai.

ujaishi nje ndugu.We sikia tu
we fanya fujo ya kujifanya unacho bila kujua vyanzo vyako vya mapato.
na wakijua vyanzo vyako alafu ndio vinakwepa kodi utawajua.

Na kupa mkasa wa kuchekesha sana.

Jamaa walivamia gari la pesa zilizotolewa benki.
wapiga mshindo kila mtu akasepa kivyake uko madiba.

Jamaa mmoja akarudi cape town.
kama mwezi jamaa kaenda duka la ferrari na cash kununua gari.
tambua kampuni za kule hata ukiuliza bei wanaomba information zako ili kujua umethubutu vipi.
wakaomba kujua huyu jamaa ana biashara gani. basi idara zikawa zinakuja huku jamaa akipewa hongera na kusubirishwa ili kupewa gari lake.
wakamtia nguvuni ilipokuja kugundulika ni wale walichukua pesa kwenye gari.

alikwenda kuwaonesha wenzake wote.
 
Na akili zako timamu kabisaaa unamchukulia serious mtu kama huyo unamfungulia na uzi?? Duh!!! Kwanza ni nani huyo??

Ungekuwa unafatilia mikasa ya wasanii na wapenda sifa marekani.
kuna vipindi vipo vingi tafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…