nyuki2015
Member
- Feb 9, 2014
- 47
- 5
Wakuu!.
Kwanza kabisa poleni na heka heka za kila siku za hapa mjini.
msaada kidogo!
nina ndugu yangu amehitimu kidato cha nne
alama zake za ufaulu ni;
B/math-C
Engl- C
Kiswa-B
Bios- D
Civ- D
Geo-D
Hist-E
DV III ya 31
je anaweza kwenda advance?.
kwa mchepuo upi wakuu?
asanteni kwa ushirikiano na poleni tena kwa usumbufu
Kwanza kabisa poleni na heka heka za kila siku za hapa mjini.
msaada kidogo!
nina ndugu yangu amehitimu kidato cha nne
alama zake za ufaulu ni;
B/math-C
Engl- C
Kiswa-B
Bios- D
Civ- D
Geo-D
Hist-E
DV III ya 31
je anaweza kwenda advance?.
kwa mchepuo upi wakuu?
asanteni kwa ushirikiano na poleni tena kwa usumbufu