Hatumuachi kama MugaluAkiboronga wamuache pia
Safi sana.Kazi yake imeonekana na kujidhihirisha.Huyu Jamaa Ni Mtu wa kazi kweli kweliKlabu ya Yanga[emoji617] imemuongezea mkataba wa mwaka mmoja kiungo wa timu hiyo Yannick Bangala[emoji1078] baada ya kuvutiwa na kiwango cha nyota huyo raia wa DR Congo[emoji1078].
Awali nyota huyo alisaini mkataba wa miaka miwili ambao ungemuweka klabuni hapo hadi mwaka 2023 ila kwa sasa atasalia klabuni hapo hadi mwaka 2024.
View attachment 2088879
Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app